
JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania, ameonesha wazi dhamira ya kuzuia
mikutano na maandamano ya vyama vya siasa nchini katika kipindi cha
utawala wake wa miaka mitano, anaandika Moses Mseti.
Julai 26 mwaka huu, Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema), kilitangaza kufanya mikutano ya hadhara nchini
chini ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho.
Chadema kilitangaza Oparesheni ya Kupambana na Udikteta Tanzania
(Ukuta) kwa kile...